Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
372.7 هزار بار بازدید -
7 سال پیش
-
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ni niongoni mwa waliopata nafasi ya kusimama Bungeni leo June 13, 2017 kuchangia mapendekezo yake katika bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2017/18 na haya ndio aliyozungumza
7 سال پیش
در تاریخ 1396/03/23 منتشر شده
است.
372,732
بـار بازدید شده