Jinsi ya kupika VITUMBUA vitamu kwaajili ya FAMILIA yako | Pika na Babysky
243.1 هزار بار بازدید -
4 سال پیش
-
MAHITAJI1. Mchele vikombe vitatu/kulingana na
MAHITAJI
1. Mchele vikombe vitatu/kulingana na mahitaji yako
2. Tui la nazi vikombe viwili vya chai//kulingana na mahitaji yako
3. Hamira vijiko viwili
4. Hiliki kijiko kimoja cha chai
5. Sukari kikombe kimoja
6. Mafuta ya kupikia
JINSI YA KUANDAA
-Changanya Mchele kiasi ambacho umeamua kupika ambapo kitaendana na tui litakalotosha, Sukari, Hamira na Iliki ndani ya chombo cha kusagia, weka tui lako la nazi anza kwa kuweka kikombe kimoja.. Mwisho uhakikishe uji wa mchele ni mzito wa kati usiwe mzito sana wala mwepesi!!
1. Mchele vikombe vitatu/kulingana na mahitaji yako
2. Tui la nazi vikombe viwili vya chai//kulingana na mahitaji yako
3. Hamira vijiko viwili
4. Hiliki kijiko kimoja cha chai
5. Sukari kikombe kimoja
6. Mafuta ya kupikia
JINSI YA KUANDAA
-Changanya Mchele kiasi ambacho umeamua kupika ambapo kitaendana na tui litakalotosha, Sukari, Hamira na Iliki ndani ya chombo cha kusagia, weka tui lako la nazi anza kwa kuweka kikombe kimoja.. Mwisho uhakikishe uji wa mchele ni mzito wa kati usiwe mzito sana wala mwepesi!!
4 سال پیش
در تاریخ 1399/02/07 منتشر شده
است.
243,132
بـار بازدید شده