Ukur Yatani aanza kuchapa kazi
503 بار بازدید -
5 سال پیش
-
Waziri wa leba Ukur Yatani
Waziri wa leba Ukur Yatani amechukua rasmi hatamu za uongozi katika ofisi za hazina ya kitaifa baada ya kuteuliwa na rais uhuru kenyatta hapo jana kuwa kaimu waziri wa fedha.
5 سال پیش
در تاریخ 1398/05/03 منتشر شده
است.
503
بـار بازدید شده