Chapaa - Abbas Kubaff

Abbas Kubaff
Abbas Kubaff
84.9 هزار بار بازدید - 11 سال پیش - Chapaa by Kenyan hip-hop star
Chapaa by Kenyan hip-hop star Abbas Kubaff

Lyrics

Mi nalike chapaa vile we u-like chapaa (yeah)
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar (round hii niko serious)
(Tshazi twende kazi, ye-ye-ye-yeah)

Verse 1
Doobeez ni mchizi mi ni msanii toka C-vo
Sisikiki sishikiki stishiki na vitisho
Naenda job na jeans juu nimevalia t-sho
Na tangu kitambo mi huwa, hivo-hivo
MC’s wana ji-do kumbe hawan hata dough
Dough zimefanya ati watu mapembe hata flow
Traffic haijambamba mzeya, basi Mbona enda slow?
Nairobi ukisleki basi jo utakuta doorUtakutwa na mtu tisa ukitoka Carnovore
Ngoma kwenye kichwa mzeya, eti juu
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar!

Chorus
Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
Beba bass Tsahzi, lemme get round

Verse 2
Nafika coast ku-cruise, ndani ya 4 by 4
Naenda kupiga show, CDs marker na soo
Mfuko nimesota maze jo niko na soo
Lakini haina noma, hope mzeya niko po-a
Seti hii kwa player juu kapuka imenibo
Tshazi twende kazi wacha jo niwapeleke slow
Wacha niwa-show jinsi ya kumake dough
Stage nikifika nipe mbili za vodo
Oh-oh-oh cheki ma-fovo
Cheki hizo macho jo mzeya nipige show
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar

Chorus
Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
Beba bass Tsahzi, lemme get round


Bridge
Watu wanasemanga mi nakaa tu msee wa mtaa
Ni kama sina chapaa (We umesota!)
Wengine wanasemanga mi nakaa tu ka jamaa
Hawezi kuwa star (Abbas umesota!)



Watu wanasemanga mi nakaa tu msee wa mtaa
Ni kama sina chapaa (We umesota!)
Wengine wanasemanga mi nakaa tu ka jamaa
Hawezi kuwa star (Abbas umesota!)

Chorus
Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
Beba bass Tshazi, lemme get round
11 سال پیش در تاریخ 1392/03/13 منتشر شده است.
84,971 بـار بازدید شده
... بیشتر