Mtoto mwenye umri wa 12 afariki kutokana na uhaba wa oksijeni katika hospitali ndogo ya Molo

NTV Kenya
NTV Kenya
684 بار بازدید - 4 هفته پیش - Huduma za afya katika hospitali
Huduma za afya katika hospitali ya kaunti ndogo ya Molo huko Nakuru zimetatizika huku wagonjwa wakikosa huduma za maabara, x- ray, upasuaji na hata oksijeni.

Inaripotiwa kuwa mgonjwa mmoja mwenye umri ya miaka 12 amefariki wiki hii kutokana na uhaba wa oksijeni, wakaazi wakionesha gadhabu zao .

Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
4 هفته پیش در تاریخ 1403/04/23 منتشر شده است.
684 بـار بازدید شده
... بیشتر