Gov.Natembeya amezitaka serikali za kaunti na kitaifa kuongeza mgao wa pesa katika sekta ya michezo
1.1 هزار بار بازدید -
2 هفته پیش
-
Gavana wa Trans Nzoia George
Gavana wa Trans Nzoia George Natembeya amezitaka serikali za kaunti na kitaifa kuongeza mgao wa pesa katika sekta ya michezo ili kuwawezesha maelfu ya vijana kupata fursa ya kuimarisha vipaji vyao pamoja na mapato kupitia michezo.
2 هفته پیش
در تاریخ 1403/04/20 منتشر شده
است.
1,124
بـار بازدید شده