KILIMO BORA CHA MAHINDI tumia mbegu za DK kutok Agricpays Tanzania

Shamba Darasa TV
Shamba Darasa TV
16.4 هزار بار بازدید - 2 سال پیش - KILIMO BORA CHA MAHINDI uanze
KILIMO BORA CHA MAHINDI uanze na uchaguzi sahihi wa mbegu bora za mahindi


DK777 (SABA SABA)
(Mbegu ya Ukanda wa Kati Na Juu (Mvua za wastani na mvua nyingi)


SIFA
-Hukomaa kati ya siku 130-150
-Inakupa gunia 40-44 kwa ekari (tani 8-10/ekari)
-Huzaa mbili mbili (mapacha) -Inastahimili ugonjwa wa mnyauko wa mahindi
-Ina punje ngumu hivyo hufaa kukoboa
-Mimea Imara, haianguki ovyo shambani
-hukomaa kwa pamoja
mbegu ya mahindi dk 9089
mbegu za mahindi aina ya dk 8031
mbegu ya mahindi aina ya dk 777
mbegu ya mahindi aina ya pioneer
heka moja ya mahindi inatoa gunia ngapi
Agricpays Tanzania - DK777 (SABA SABA)


DK 777. Kampuni ya Mbegu ya Bayer. Life Science Tanzania Ltd. Mpunga. Arize 6444 Gold. Aina hizo mpya za mbegu zitaanza kuzalishwa na makampuni ...




Kampuni ya Uzalishaji wa Mbegu ya Monsanto imezindua mbegu mpya aina ya DK 777 ,ambayo ina uwezo mkubwa wa kustahimili ugonjwa wa Mnyauko wa Mahindi uliowasumbua wakulima wengi hususan katika kanda ya Kaskazini na kusababisha wakulima kukosa mazao .
KILIMO CHA MAHINDI.MBEGU BORA ZA AINA ZA MAHINDI (CP 201,SEEDCO 513 NA DK 8031)


#mkulimasmart
#shambadarasa
FAHAMU AINA 5 ZA MBEGU CHOTARA ZA MAHINDI


Hatua 12 za kuzingatia ili kupata mbegu bora ya mahindi
MBEGU ZA DK
Ni mbegu gani za mahindi zinafanya vizuri katika mkoa wako?
2 سال پیش در تاریخ 1401/05/23 منتشر شده است.
16,472 بـار بازدید شده
... بیشتر